Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wafalme 19:14

1 Wafalme 19:14 BHN

Naye akasema, “Naona uchungu na wivu, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wa majeshi, kwa sababu watu wa Israeli wamevunja agano lako, wakazibomoa madhabahu zako na kuwaua manabii wako kwa upanga; ni mimi tu niliyebaki, nami pia wananiwinda waniue!”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Wafalme 19:14