Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wakorintho 12:16-17

1 Wakorintho 12:16-17 BHN

Kama sikio lingejisemea: “Kwa vile mimi si jicho, basi mimi si mali ya mwili,” je, kwa hoja hiyo lingekoma kuwa sehemu ya mwili? La! Kama mwili wote ungekuwa jicho, sikio lingekuwa wapi? Na kama mwili wote ungekuwa sikio, mtu angewezaje kunusa?

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Wakorintho 12:16-17