Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 12:41-42

Marko 12:41-42 BHND

Yesu alikuwa ameketi karibu na sanduku la hazina. Akawa anatazama jinsi watu wengi walivyokuwa wakitoa fedha na kuzitia katika hazina ya hekalu. Matajiri wengi walitoa fedha nyingi. Hapo akaja mama mmoja mjane maskini, akatoa sarafu mbili ndogo za fedha.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Marko 12:41-42