Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Samueli 13:12

1 Samueli 13:12 BHND

nikawaza kwamba Wafilisti watakuja kunishambulia huko Gilgali. Tena nilikuwa bado sijaomba fadhili za Mwenyezi-Mungu. Ndipo nilipolazimika kutolea mimi mwenyewe sadaka ya kuteketezwa.”