1 Mose 27:36
1 Mose 27:36 SRB37
Akasema: Kumbe haitwi jina lake Yakobo (Mdanganyi)? Naye amenidanganya sasa mara mbili: Kwanza ameuchukua ukubwa wangu, sasa ameichukua mbaraka yangu nayo. Kisha akauliza: Hukuniwekea mbaraka nami?
Akasema: Kumbe haitwi jina lake Yakobo (Mdanganyi)? Naye amenidanganya sasa mara mbili: Kwanza ameuchukua ukubwa wangu, sasa ameichukua mbaraka yangu nayo. Kisha akauliza: Hukuniwekea mbaraka nami?