Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 37:6-7

Mwanzo 37:6-7 SCLDC10

Aliwaambia, “Sikilizeni ndoto niliyoota: Niliota kuwa sote tulikuwa shambani tukifunga miganda na ghafla mganda wangu ukainuka na kusimama wima. Miganda yenu ikakusanyika kuuzunguka na kuuinamia mganda wangu.”

Soma Mwanzo 37