Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 26:17-18

Matendo 26:17-18 SCLDC10

Nitakuokoa na watu wa Israeli na watu wa mataifa mengine ambao mimi ninakutuma kwao. Utayafumbua macho yao na kuwawezesha watoke gizani na kuingia katika mwanga; watoke katika utawala wa Shetani, wamgeukie Mungu; ili kwa kuamini, wapate kusamehewa dhambi na kuchukua nafasi yao kati ya wale ambao wamepata kuwa watu wa Mungu.’

Soma Matendo 26

Video ya Matendo 26:17-18