Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohana 21:18

Yohana 21:18 TKU

Ukweli ni huu, wakati ulipokuwa mdogo, ulijifunga mwenyewe mkanda wako kiunoni na kwenda ulikotaka. Lakini utakapozeeka, utainyoosha mikono yako, na mtu mwingine atakufunga mkanda wako. Watakuongoza kwenda mahali usikotaka kwenda.”

Soma Yohana 21