Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zekaria 8:16-17

Zekaria 8:16-17 SRUV

Haya ndiyo mtakayoyatenda; kila mtu na aseme ukweli na jirani yake; katika malango yenu toeni hukumu za kweli na ziletazo amani; wala mtu wa kwenu asiwaze mabaya moyoni mwake juu ya jirani yake; wala msipende kiapo cha uongo; maana hayo yote ndiyo niyachukiayo, asema BWANA.

Soma Zekaria 8

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zekaria 8:16-17