Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Warumi 9:30-33

Warumi 9:30-33 SRUV

Tuseme nini, basi? Ya kwamba watu wa Mataifa, wasioifuata haki, walipata haki; lakini ni ile haki iliyo ya imani; bali Israeli wakiifuata sheria ya haki hawakuifikia ile sheria. Kwa sababu gani? Kwa sababu hawakuifuata kwa njia ya imani, bali kana kwamba kwa njia ya matendo. Wakajikwaa juu ya jiwe lile likwazalo, kama ilivyoandikwa, Tazama, naweka katika Sayuni jiwe likwazalo, na mwamba uangushao; Na kila amwaminiye hatatahayarika.

Soma Warumi 9

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Warumi 9:30-33