Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Warumi 6:17-18

Warumi 6:17-18 SRUV

Lakini Mungu na ashukuriwe, kwa maana mlikuwa watumwa wa dhambi, lakini mliitii kwa mioyo yenu ile namna ya elimu ambayo mliwekwa chini yake; na mlipokwisha kuwekwa huru mbali na dhambi, mkawa watumwa wa haki.

Soma Warumi 6

Video for Warumi 6:17-18

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Warumi 6:17-18