Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Warumi 6:16

Warumi 6:16 SRUV

Hamjui ya kuwa kwake yeye ambaye mnajitoa nafsi zenu kuwa watumwa wake katika kumtii, mmekuwa watumwa wake yule mnayemtii, iwe ni utumishi wa dhambi uletao mauti, au iwe ni utumishi wa utii uletao haki.

Soma Warumi 6

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Warumi 6:16