Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Warumi 14:17-18

Warumi 14:17-18 SRUV

Maana ufalme wa Mungu si kula wala kunywa, bali ni haki na amani na furaha katika Roho Mtakatifu. Kwa kuwa yeye amtumikiaye Kristo katika mambo hayo humpendeza Mungu, tena hukubaliwa na wanadamu.

Soma Warumi 14

Video for Warumi 14:17-18

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Warumi 14:17-18