Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 8:10-11

Ufunuo 8:10-11 SRUV

Malaika wa tatu akapiga baragumu, nyota kubwa ikaanguka kutoka mbinguni, iliyokuwa ikiwaka kama taa, ikaanguka juu ya theluthi ya mito, na juu ya chemchemi za maji. Na jina lake ile nyota yaitwa Pakanga; theluthi ya maji ikawa pakanga, na wanadamu wengi wakafa kwa maji hayo, kwa kuwa yalifanywa kuwa machungu.

Soma Ufunuo 8

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 8:10-11