Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 3:17-18

Ufunuo 3:17-18 SRUV

Kwa kuwa wasema, Mimi ni tajiri, nimejitajirisha, wala sina haja ya kitu; nawe hujui ya kuwa wewe u mnyonge, na mwenye mashaka, na maskini, na kipofu, na uchi. Nakupa shauri, ununue kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto, upate kuwa tajiri, na mavazi meupe upate kuvaa, aibu ya uchi wako isionekane, na dawa ya macho ya kujipaka macho yako, upate kuona.

Soma Ufunuo 3

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 3:17-18