Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 20:12

Ufunuo 20:12 SRUV

Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo, wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi; na vitabu vikafunguliwa; na kitabu kingine kikafunguliwa, ambacho ni cha uzima; na hao wafu wakahukumiwa katika mambo hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu, kulingana na matendo yao.

Soma Ufunuo 20

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 20:12

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha