Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 11:18

Ufunuo 11:18 SRUV

Na mataifa walikasirika, hasira yako nayo ikaja, na wakati ukaja wa kuhukumiwa waliokufa, na wa kuwapa thawabu yao watumishi wako manabii na watakatifu, na hao walichao jina lako, wadogo kwa wakubwa, na wa kuwaharibu hao waiharibuo nchi.

Soma Ufunuo 11

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 11:18