Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 10:9-10

Ufunuo 10:9-10 SRUV

Nikamwendea malaika yule nikamwambia kwamba anipe kile kitabu kidogo. Akaniambia, Kitwae, ukile, nacho kitakutia uchungu tumboni mwako, bali katika kinywa chako kitakuwa kitamu kama asali. Nikakitwaa kile kitabu kidogo kutoka mkononi mwa malaika yule, nikakila; nacho kikawa kitamu kama asali kinywani mwangu, na nilipokwisha kukila tumbo langu likatiwa uchungu.

Soma Ufunuo 10

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 10:9-10