Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 42:7-8

Zaburi 42:7-8 SRUV

Kilindi chapigia kelele kilindi kwa sauti ya maporomoko ya maji yako, Gharika zako zote na mawimbi yako yote yamepita juu yangu. Mchana BWANA ataagiza fadhili zake, na usiku wimbo wake utakuwa nami, Naam, maombi kwa Mungu aliye uhai wangu.

Soma Zaburi 42

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 42:7-8