Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 41:4-6

Zaburi 41:4-6 SRUV

Nami nilisema, BWANA, unifadhili, Uniponye roho yangu maana nimekutenda dhambi. Adui zangu wananitaja kwa maneno mabaya, Atakufa lini, jina lake lipotee? Na mmoja wao akija kunitazama asema uongo, Moyo wake hujikusanyia maovu, Naye atokapo nje huyanena.

Soma Zaburi 41

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 41:4-6

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha