Nami nilisema, BWANA, unifadhili, Uniponye roho yangu maana nimekutenda dhambi. Adui zangu wananitaja kwa maneno mabaya, Atakufa lini, jina lake lipotee? Na mmoja wao akija kunitazama asema uongo, Moyo wake hujikusanyia maovu, Naye atokapo nje huyanena.
Soma Zaburi 41
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: Zaburi 41:4-6
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video