Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 17:6-7

Zaburi 17:6-7 SRUV

Ee Mungu, nimekuita kwa maana utaitika, Utege sikio lako ulisikie neno langu. Dhihirisha fadhili zako za ajabu Wewe uwaokoaye wanaokukimbilia; Kwa mkono wako wa kulia Uwaokoe kutoka kwa adui zao.

Soma Zaburi 17

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 17:6-7