Zaburi 119:70-72
Zaburi 119:70-72 SRUV
Mioyo yao imenenepa kama shahamu, Lakini mimi nimeifurahia sheria yako. Ilikuwa vema kwangu kuwa niliteswa, Nipate kujifunza amri zako. Sheria ya kinywa chako ni njema kwangu, Kuliko maelfu ya dhahabu na fedha.
Mioyo yao imenenepa kama shahamu, Lakini mimi nimeifurahia sheria yako. Ilikuwa vema kwangu kuwa niliteswa, Nipate kujifunza amri zako. Sheria ya kinywa chako ni njema kwangu, Kuliko maelfu ya dhahabu na fedha.