Zaburi 119:134-136
Zaburi 119:134-136 SRUV
Unikomboe kutoka kwa dhuluma ya mwanadamu, Nipate kuyashika mausia yako. Umwangazie mtumishi wako uso wako, Na kunifundisha amri zako. Macho yangu yachuruzika mito ya machozi, Kwa sababu hawaitii sheria yako.