Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 100:1-3

Zaburi 100:1-3 SRUV

Mshangilieni BWANA, enyi nchi zote; Mtumikieni BWANA kwa furaha; Njoni mbele zake mkiimba; Jueni kwamba BWANA ndiye Mungu; Ndiye aliyetuumba na sisi tu watu wake; Tu watu wake, na kondoo wa malisho yake.

Soma Zaburi 100