Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 16:17-19

Mithali 16:17-19 SRUV

Njia kuu ya mwenye haki ni kujitenga na uovu; Yeye ashikaye njia yake huihifadhi nafsi yake. Kiburi hutangulia uangamivu; Na roho yenye kutakabari hutangulia maanguko. Afadhali kuwa na roho ya unyenyekevu pamoja na maskini, Kuliko kugawanya nyara pamoja na wenye kiburi.

Soma Mithali 16

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mithali 16:17-19