Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hesabu 22:13-14

Hesabu 22:13-14 SRUV

Balaamu akaondoka asubuhi akawaambia wakuu wa Balaki, Nendeni zenu hadi nchi yenu; kwa maana BWANA amekataa kunipa ruhusa niende pamoja nanyi. Wakuu wakaondoka wakaenda kwa Balaki, wakasema, Balaamu, anakataa kuja pamoja nasi.

Soma Hesabu 22