Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hesabu 22:13-14

Hesabu 22:13-14 NEN

Asubuhi iliyofuata Balaamu akaamka, akawaambia wakuu wa Balaki, “Rudini katika nchi yenu, kwa kuwa BWANA amenikataza nisiende pamoja nanyi.” Kwa hiyo wakuu wa Moabu wakarudi kwa Balaki na kumwambia, “Balaamu amekataa kuja pamoja nasi.”