Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Nehemia 3:1

Nehemia 3:1 SRUV

Ndipo akaondoka Eliashibu, kuhani mkuu, pamoja na nduguze makuhani, wakalijenga lango la kondoo; wakazitia boriti zake, wakaisimamisha milango yake; mpaka mnara wa Hamea wakalitakasa, mpaka mnara wa Hananeli.

Soma Nehemia 3