Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 6:31-33

Mathayo 6:31-33 SRUV

Msisumbuke, basi, mkisema, Tule nini? Au Tunywe nini? Au Tuvae nini? Kwa maana hayo yote Mataifa huyatafuta; kwa sababu Baba yenu wa mbinguni anajua ya kuwa mnahitaji hayo yote. Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.

Soma Mathayo 6