Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 6:26-27

Mathayo 6:26-27 SRUV

Waangalieni ndege wa angani, ya kwamba hawapandi, wala hawavuni, wala hawakusanyi ghalani; na Baba yenu wa mbinguni huwalisha hao. Ninyi je! Si bora kuliko hao? Ni yupi kwenu ambaye akijisumbua aweza kujiongeza kimo chake hata mkono mmoja?

Soma Mathayo 6