Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 14:22-23

Mathayo 14:22-23 SRUV

Mara akawalazimisha wanafunzi wake wapande katika mashua na kutangulia mbele yake kwenda ng'ambo, wakati yeye alipokuwa akiwaaga mkutano. Naye alipokwisha kuwaaga makutano, alipanda mlimani faraghani, kwenda kuomba. Na kulipokuwa jioni, alikuwako huko peke yake.

Soma Mathayo 14