Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 10:29-31

Mathayo 10:29-31 SRUV

Je! Mashomoro wawili hawauzwi kwa senti moja? Wala hata mmoja haanguki chini asipojua Baba yenu; lakini ninyi, hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote. Msiogope basi; bora ninyi kuliko mashomoro wengi.

Soma Mathayo 10

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 10:29-31