Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 23:33-34

Luka 23:33-34 SRUV

Na walipofika mahali paitwapo Fuvu la Kichwa, ndipo walipomsulubisha yeye, na wale wahalifu, mmoja upande wa kulia, na mmoja upande wa kushoto. Yesu akasema, Baba, uwasamehe, kwa kuwa hawajui watendalo. Wakagawa mavazi yake, wakipiga kura.

Soma Luka 23