Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohana 10:16-18

Yohana 10:16-18 SRUV

Na kondoo wengine ninao, ambao si wa zizi hili; na hao nao imenipasa kuwaleta; na sauti yangu wataisikia; kisha kutakuwako kundi moja na mchungaji mmoja. Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena. Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nililipokea kwa Baba yangu.

Soma Yohana 10

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yohana 10:16-18