Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 6:13-14

Yeremia 6:13-14 SRUV

Kwa maana, tangu aliye mdogo hata aliye mkubwa miongoni mwao, kila mmoja ni mtamanifu; na, tangu nabii hata kuhani, kila mmoja hutenda mambo ya udanganyifu. Wameliponya jeraha la watu wangu kwa juu juu tu, wakisema, Amani, Amani, wala hapana amani.

Soma Yeremia 6

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yeremia 6:13-14