Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 14:20-21

Yeremia 14:20-21 SRUV

Ee BWANA, tunakiri uovu wetu, na ubaya wa baba zetu; maana tumekutenda dhambi. Usituchukie, kwa ajili ya jina lako; usikifedheheshe kiti cha enzi cha utukufu wako, kumbuka, usilivunje agano ulilofanya nasi.

Soma Yeremia 14