Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yakobo 1:12-15

Yakobo 1:12-15 SRUV

Heri mtu astahimiliye majaribu; kwa sababu akiisha kukubaliwa ataipokea taji la uzima, Bwana aliyowaahidia wampendao. Mtu ajaribiwapo, asiseme, Ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu mtu. Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa. Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti.

Soma Yakobo 1

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yakobo 1:12-15