Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isaya 65:23-24

Isaya 65:23-24 SRUV

Hawatajitaabisha kwa kazi bure, wala hawatazaa kwa taabu; kwa sababu wao ni wazao wa hao waliobarikiwa na BWANA, na watoto wao pamoja nao. Na itakuwa ya kwamba, kabla hawajaomba, nitajibu; na wakiwa bado wanena, nitasikia.

Soma Isaya 65