Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isaya 6:4-5

Isaya 6:4-5 SRUV

Na misingi ya vizingiti ikatikisika kwa sababu ya sauti yake aliyelia, nayo nyumba ikajaa moshi. Ndipo niliposema, Ole wangu! Kwa maana nimepotea; kwa sababu mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninakaa kati ya watu wenye midomo michafu; na macho yangu yamemwona Mfalme, BWANA wa majeshi.

Soma Isaya 6

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Isaya 6:4-5