Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isaya 57:18-19

Isaya 57:18-19 SRUV

Nimeziona njia zake; nami nitamponya; nitamwongoza pia, nitamrudishia faraja zake, yeye na hao wanaomlilia. Mimi nayaumba matunda ya midomo; Amani, amani, kwake yeye aliye mbali, na kwake yeye aliye karibu; asema BWANA; nami nitamponya.

Soma Isaya 57