Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hagai 1:8-9

Hagai 1:8-9 SRUV

Pandeni milimani, mkalete miti, mkaijenge nyumba; nami nitaifurahia, nami nitatukuzwa, asema BWANA. Mlitazamia vingi, kumbe vikatokea vichache; tena mlipovileta nyumbani nikavipeperusha mbali. Ni kwa sababu gani? Asema BWANA wa majeshi. Ni kwa sababu yumba yangu imebaki kuwa gofu la nyumba, wakati ambapo kila mmoja wenu anakimbilia nyumbani kwake.

Soma Hagai 1

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Hagai 1:8-9