Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 47:7-10

Mwanzo 47:7-10 SRUV

Yusufu akamleta Yakobo babaye ndani akamweka mbele ya Farao, Yakobo akambariki Farao. Farao akamwuliza Yakobo, Je! Siku za kuishi kwako ni ngapi? Yakobo akamjibu Farao, Siku za kuishi kwangu ni miaka mia moja na thelathini; siku za maisha yangu zimekuwa chache, tena za taabu, wala hazikufikia siku za maisha ya baba zangu katika siku za kuishi kwao. Yakobo akambariki Farao, akatoka mbele ya Farao.

Soma Mwanzo 47

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 47:7-10