Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 21:17-18

Mwanzo 21:17-18 SRUV

Mungu akasikia sauti ya kijana. Malaika wa Mungu akamwita Hajiri kutoka mbinguni, akamwambia, Una nini, Hajiri? Usiogope, maana Mungu amesikia sauti ya kijana huko aliko. Ondoka, ukamwinue kijana, ukamshike mkononi mwako, kwa kuwa nitamfanya kuwa taifa kubwa.

Soma Mwanzo 21

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 21:17-18

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha