Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ezekieli 18:21-23

Ezekieli 18:21-23 SRUV

Lakini mtu mbaya akighairi, na kuacha dhambi zake zote alizozitenda, na kuzishika amri zangu zote, na kutenda yaliyo halali na haki, hakika ataishi, hatakufa. Dhambi zake zote alizozitenda hazitakumbukwa juu yake hata mojawapo; katika haki yake aliyoitenda ataishi. Je! Mimi ninafurahia kufa kwake mtu mwovu? Asema Bwana MUNGU; si afadhali kwamba aghairi, na kuiacha njia yake, akaishi?

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ezekieli 18:21-23