Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kutoka 2:5-6

Kutoka 2:5-6 SRUV

Basi binti Farao akashuka, aoge mtoni, na vijakazi wake wakatembea kando ya mto; naye akakiona kile kikapu katika nyasi, akamtuma kijakazi wake kwenda kukileta. Akakifungua, akamwona mtoto, na tazama, mtoto yule analia. Basi akamhurumia, akasema, Huyu ni mmojawapo wa watoto wa Waebrania.

Soma Kutoka 2

Video ya Kutoka 2:5-6