Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waefeso 3:10-12

Waefeso 3:10-12 SRUV

ili sasa, kwa njia ya kanisa, hekima ya Mungu iliyo ya namna nyingi ijulikane na falme na mamlaka katika ulimwengu wa roho; kwa kadiri ya kusudi la milele alilolikusudia katika Kristo Yesu Bwana wetu. Katika yeye tunao ujasiri na uwezo wa kukaribia katika tumaini kwa njia ya kumwamini.

Soma Waefeso 3

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Waefeso 3:10-12