Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 2:17-18

Mhubiri 2:17-18 SRUV

Basi, nikauchukia uhai; kwa sababu kazi inayotendeka chini ya jua ilikuwa mbaya kwangu; yaani, mambo yote ni ubatili na kufukuza upepo. Nami nikaichukia kazi yangu yote niliyojishughulisha nayo chini ya jua; maana sina budi kumwachia yeye atakayenifuata.

Soma Mhubiri 2