Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Danieli 3:29

Danieli 3:29 SRUV

Basi mimi naweka amri ya kuwa kila kabila la watu, na kila taifa, na kila lugha, watakaonena neno lolote lisilopasa juu ya huyo Mungu wa Shadraka, na Meshaki, na Abednego, watakatwa vipande vipande, na nyumba zao zitafanywa jaa; kwa kuwa hakuna Mungu mwingine awezaye kuokoa namna hii.

Soma Danieli 3

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Danieli 3:29