Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 9:17-19

Matendo 9:17-19 SRUV

Anania akaenda zake, akaingia mle nyumbani; akamwekea mikono akisema, Ndugu Sauli, Bwana amenituma, Yesu, yeye aliyekutokea katika njia uliyoijia, upate kuona tena, ukajazwe Roho Mtakatifu. Mara vikaanguka machoni pake vitu kama magamba, akapata kuona, akasimama, akabatizwa; akala chakula, na kupata nguvu. Akawa huko siku kadhaa pamoja na wanafunzi walioko Dameski.

Soma Matendo 9

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 9:17-19