Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 16:14-15

Matendo 16:14-15 SRUV

Mwanamke mmoja, jina lake Lidia, mwenye kuuza rangi ya zambarau, mwenyeji wa Thiatira, mcha Mungu, akatusikiliza, ambaye moyo wake ulifunguliwa na Bwana, ayatunze maneno yaliyonenwa na Paulo. Hata alipokwisha kubatizwa, yeye na nyumba yake, akatusihi, akisema, Kama mmeniona kuwa mwaminifu kwa Bwana, ingieni nyumbani mwangu mkakae. Akatusihi sana.

Soma Matendo 16

Video for Matendo 16:14-15

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 16:14-15